Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Siri Takatifu ya Mungu—Upeo Wayo Wenye Utukufu!
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • “Na patakatifu pa hekalu la Mungu palipo katika mbingu palifunguliwa, na sanduku la agano lake lilionekana katika patakatifu pa hekalu. Na kukatokea meme na sauti na ngurumo na tetemeko la dunia na mvua-mawe kubwa.” (Ufunuo 11:19, NW)

  • Siri Takatifu ya Mungu—Upeo Wayo Wenye Utukufu!
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 16. Kumekuwaje na meme, sauti, ngurumo, tetemeko la dunia, na mvua-mawe kubwa?

      16 Tangu 1914 kumekuwako msukosuko mkubwa katika milki ya kidini. Ingawa hivyo, “tetemeko la dunia” hili limeandamana na sauti zilizo wakfu zikitoa ujumbe ulio wazi juu ya kusimamishwa kwa Ufalme wa Mungu. ‘Maonyo ya tufani’ yenye ngurumo kutoka katika Biblia yamevumishwa. Kama umeme, mimeto ya mwono-ndani kuhusu Neno la kiunabii la Mungu imeonwa na ikahadhiriwa. “Mvua-mawe” yenye kupiga sana ya hukumu za kimungu imeangushwa juu ya Jumuiya ya Wakristo na dini bandia kwa ujumla. Yote hayo yangalipasa kuvuta uangalifu wa watu. Ingawa hivyo, kwa kuhuzunisha, walio wengi—kama walivyokuwa watu katika wakati wa Yesu—wameshindwa kutambua utimizo wa hizi ishara za Ufunuo.—Luka 19:41-44.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki