-
Kukirihi “Vitu Vyenye Kina Kirefu vya Shetani”Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Kama vile yule Yezebeli wa kwanza kabisa kwa wazi alivyomtawala Ahabu na kisha akamkaidi Yehu, mfishaji wa Mungu, ndivyo uvutano huu wa kike huenda ukawa unajaribu kutumia hila juu ya waume na wazee. Inaonekana kwamba wazee katika Thiatira wanavumilia uvutano huu usio na kiasi wa Yezebeli. Hapa Yesu anatoa onyo kali kwao, pamoja na kwa kundi lililo kwenye tufe lote la watu wa Yehova leo. Katika nyakati za ki-siku-hizi, baadhi ya wanawake kama hao wenye nia ngumu wameshawishi waume zao wawe waasi-imani na hata wamechukua hatua ya kimahakama dhidi ya watumishi waaminifu wa Yehova.—Linga Yuda 5-8.
-
-
Kukirihi “Vitu Vyenye Kina Kirefu vya Shetani”Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Ni wakati tu wanawake wanaporuka mpaka kwa kutongoza wanaume au kwa kukaidi au kupuuza ukichwa ndipo uvutano wa Kiyezebeli unapozuka.—Waefeso 5:22, 23; 1 Wakorintho 11:3.
-
-
Kukirihi “Vitu Vyenye Kina Kirefu vya Shetani”Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Yesu ameruhusu Yezebeli na watoto wake wakati wa kutubu, lakini wao wanaendelea katika njia zao za ukosefu wa adili na kwa sababu hiyo lazima wapokee hukumu. Hapa pana ujumbe wenye nguvu nyingi kwa Wakristo leo. Wale wanaoiga Yezebeli, wawe ni wanaume au wanawake, na hivyo wamekuwa watoto wake kwa kuhalifu kanuni za Biblia juu ya ukichwa na maadili au kwa kuwa wenye kichwa kigumu hivi kwamba wanapuuza utaratibu wa kitheokrasi, kwa njia ya kiroho wamo katika hali yenye hatari sana ya ugonjwa. Ni kweli, ikiwa mmoja kama huyo anawaita wazee katika kundi wakamwombee, hiyo “sala ya imani itafanya huyo asiye na maelekeo mazuri ahisi vema, na Yehova atainua yeye”—maadamu yeye anatenda kwa unyenyekevu kupatana na sala hizo. Lakini yeyote asifikiri kwamba yeye anaweza kudanganya Mungu au Kristo kwa kujaribu kuficha matendo ya ukosefu wa adili au kwa kujivika wonyesho wa nje-nje wa utumishi wenye bidii.—Yakobo 5:14, 15, NW.
11. Makundi leo yanasaidiwa jinsi gani yakae macho ili yaone upenyezi wa uvutano wa kike usio halali?
11 Kwa furaha, yaliyo mengi ya makundi ya Mashahidi wa Yehova leo yako macho kuona hatari hii. Wazee wanalinda waone miendo ya mielekeo isiyo ya kitheokrasi na utendaji makosa. Wanajaribu kusaidia wanaume na wanawake walio katika njia ya hatari ili hao wajenge hali ya kiroho na kurekebishwa kabla haijawa kuchelewa mno. (Wagalatia 5:16; 6:1) Kwa upendo na kwa uthabiti, waangalizi hawa Wakristo wanazuia jitihada yoyote ya kike ya kufanyiza vikundi vikundi vya kuendeleza miendo kama ile ya ukombozi wa wanawake. Zaidi ya hilo, pindi kwa pindi shauri la wakati wenye kufaa linatolewa katika vichapo vya Mashahidi wa Yehova.a
-
-
Kukirihi “Vitu Vyenye Kina Kirefu vya Shetani”Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Wale ambao wameshindwa na uvutano huu wenye makosa wa kike pia watapatwa na dhiki kubwa—ile huzuni ya kutengwa na ushirika, kukatiliwa mbali na kundi la Kikristo kama kwamba ni wafu.
-