Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 3. Tayarisha na Uhifadhi Chakula Vizuri
    Amkeni!—2012 | Juni
    • ● Chakula kinachosalia kishughulikiwe vizuri.

      Anita, mama anayeishi huko Poland, hupakua chakula mara tu baada ya kukipika. Lakini ikiwa kuna chakula kilichobaki, “mimi hukipakia katika vifurushi vidogo-vidogo na kukigandisha ili iwe rahisi kukiyeyusha baadaye.” Ikiwa unahifadhi masalio ya chakula kwenye friji, lazima kiliwe kabla ya siku tatu au nne kwisha.

  • 4. Uwe Mwangalifu Unapokula Kwenye Mkahawa
    Amkeni!—2012 | Juni
    • ● Jihadhari na masalio unayobeba nyumbani.

      Shirika la Usimamizi wa Chakula na Dawa la Marekani linatoa shauri hili: “Ikiwa hutafika nyumbani saa mbili baada ya kula mkahawani, usibebe masalio yoyote.” Ikiwa umebeba masalio, nenda moja kwa moja nyumbani na uyahifadhi kwenye friji hasa ikiwa halijoto ya eneo lenu inapita nyuzi 32 Selsiasi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki