Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jina la Mungu na Jitihada za Alfonso de Zamora za Kutokeza Maandishi Sahihi
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Desemba 1
    • Alfonso de Zamora alikuwa msomi mkuu aliyetayarisha na kurekebisha maandishi ya Kiebrania ambayo mwishowe yalichapishwa katika Biblia ya Complutensian Polyglot, mwaka wa 1522. (Katika Biblia hiyo, sarufi ya Kiebrania na maneno ya Kiebrania yaliyotafsiriwa kwa Kilatini yaliwasaidia sana watafsiri.)

  • Jina la Mungu na Jitihada za Alfonso de Zamora za Kutokeza Maandishi Sahihi
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Desemba 1
    • Maandishi hayo yaliyorekebishwa ya Kiebrania na Kigiriki yalipokuwa tayari, watafsiri wengine walianza kazi muhimu ya kutafsiri Biblia katika lugha ambayo watu wangeelewa. Wakati William Tyndale alipotafsiri Biblia katika Kiingereza, alikuwa mmoja wa watafsiri wa kwanza kutumia maandishi ya Kiebrania ya Biblia ya Complutensian Polyglot.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki