Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Uendako Nitaenda”
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Julai 1
    • Leo, sote tunaweza kuiga jinsi Ruthu alivyotenda kwa imani kwa sababu tunapambana na hali ngumu za kiuchumi. Hakutazamia kwamba watu wengine walipaswa kumtendea kwa fadhili, hivyo alithamini kila jambo alilofanyiwa. Hakuaibika kufanya kazi ngumu kwa saa nyingi ili kumwandalia mtu aliyempenda, ingawa ilikuwa kazi ya hali ya chini. Alikubali kwa furaha na akafuata mashauri yenye hekima kuhusu jinsi angefanya kazi akiwa salama na kushirikiana na watu wazuri. Jambo la maana zaidi ni kwamba hakusahau kamwe mahali ambapo angepata kimbilio la kweli, yaani, kwa Baba yake aliyemlinda, Yehova Mungu.

      Tukionyesha upendo mshikamanifu kama wa Ruthu na kuiga mfano wake wa unyenyekevu, bidii, na kuonyesha uthamini, imani yetu pia itakuwa mfano mzuri wa kuigwa na wengine.

  • “Uendako Nitaenda”
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Julai 1
    • [Picha katika ukurasa wa 27]

      Ruthu alikuwa tayari kufanya kazi ngumu na ya hali ya chini ili atimize mahitaji yake na ya Naomi pia

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki