-
Matukio Muhimu Ya Mwaka Uliopita2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
-
-
“Na twende, tukajenge.” (Neh. 2:18) Maneno hayo yenye kutia moyo ya Wayahudi waaminifu katika siku za Nehemia, yalitajwa katika nyongeza ya Huduma Yetu ya Ufalme ya Juni 2000 huko Hungaria. Watu wa Yehova kutoka sehemu zote za nchi walialikwa kusaidia katika ujenzi wa ofisi ya tawi jijini Budapest. Ndugu 13,741 waliojitolea kutoka makutaniko yote 251 nchini humo, walishiriki katika mradi huo wa miaka miwili uliohusisha kurekebisha jengo ambalo lilikuwa kituo cha jeshi hapo awali. Ofisi hiyo ya tawi iliwekwa wakfu Mei 10, 2003, na wageni 554 kutoka nchi 22 walihudhuria. Ndugu Guy Pierce wa Baraza Linaloongoza alitoa hotuba ya kuweka wakfu yenye kichwa, “Yehova Anaendelea Kukuza.”
-
-
Matukio Muhimu Ya Mwaka Uliopita2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
-
-
[Picha katika ukurasa wa 28]
◼ Majengo ya ofisi za tawi yaliyowekwa wakfu hivi karibuni (1) Guyana, (2) Hungaria
-