Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Tafadhali Turuhusu Turudi Nyumbani”
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Aprili 1
    • “NILISALI kwa Yehova nikimwomba aniruhusu nirudi nyumbani na anisamehe kwa kumhuzunisha.” Ndivyo alivyosema mwanamke fulani aliyekuwa ameacha kufuata viwango vya Kikristo alivyofundishwa tangu utotoni.

  • “Tafadhali Turuhusu Turudi Nyumbani”
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Aprili 1
    • Mwanamke aliyetajwa mwanzoni mwa makala hii alichukua hatua ya kumrudia Yehova na akaanza kushirikiana tena na Mashahidi wa Yehova katika eneo la kwao. Mwanzoni, alihitaji kushinda hisia zake zisizofaa. Anasema: “Nilihisi sifai kabisa.” Lakini wazee wa kutaniko walimtia moyo na kumsaidia kurudia hali yake nzuri ya kiroho. Akiwa mwenye shukrani sana, anasema hivi: “Ni jambo lenye kupendeza kama nini kwamba Yehova aliniruhusu nirudi nyumbani!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki