-
“Tafadhali Turuhusu Turudi Nyumbani”Mnara wa Mlinzi—2012 | Aprili 1
-
-
“NILISALI kwa Yehova nikimwomba aniruhusu nirudi nyumbani na anisamehe kwa kumhuzunisha.” Ndivyo alivyosema mwanamke fulani aliyekuwa ameacha kufuata viwango vya Kikristo alivyofundishwa tangu utotoni.
-
-
“Tafadhali Turuhusu Turudi Nyumbani”Mnara wa Mlinzi—2012 | Aprili 1
-
-
Mwanamke aliyetajwa mwanzoni mwa makala hii alichukua hatua ya kumrudia Yehova na akaanza kushirikiana tena na Mashahidi wa Yehova katika eneo la kwao. Mwanzoni, alihitaji kushinda hisia zake zisizofaa. Anasema: “Nilihisi sifai kabisa.” Lakini wazee wa kutaniko walimtia moyo na kumsaidia kurudia hali yake nzuri ya kiroho. Akiwa mwenye shukrani sana, anasema hivi: “Ni jambo lenye kupendeza kama nini kwamba Yehova aliniruhusu nirudi nyumbani!”
-