-
Mwaminifu kwa Mungu kwa Zaidi ya Miaka 70Amkeni!—2009 | Septemba
-
-
Baadaye katika mwaka huo, familia yetu ilihamia Jakarta ili kuwahubiria Wachina 80,000 walioishi huko. Mimi, Mama, na Felix, tukawa mapainia, ambao ni watumishi Wakristo wa wakati wote. Pia tulihubiri huko Bandung, Surabaya, na sehemu nyingine. Muda mwingi nilihubiri peke yangu. Nilikuwa kijana, mwenye nguvu, na nilifurahia kumtumikia Mungu.
-
-
Mwaminifu kwa Mungu kwa Zaidi ya Miaka 70Amkeni!—2009 | Septemba
-
-
Mnamo 1943, niliolewa na André, painia mwenye ujasiri na sauti nzito yenye kuamrisha. Tulipeleka vichapo vya Biblia kwa siri katika sehemu zote za Java. Ikiwa tungekamatwa tungeteswa na kuuawa. Tuliponea chupuchupu mara nyingi sana.
-
-
Mwaminifu kwa Mungu kwa Zaidi ya Miaka 70Amkeni!—2009 | Septemba
-
-
Mnamo Mei (Mwezi wa 5) 1948, jeuri ilipopungua, mimi na André tulianza tena kufanya upainia, na hivyo tukawa mapainia pekee waliokuwepo Indonesia.
-