-
Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Wakijua kwamba watu wengi wa Magharibi walihofu Ukomunisti, makasisi Wakatoliki katika jiji la Ireland la Cork, katika 1948, walichochea upinzani dhidi ya Mashahidi wa Yehova kwa kuwarejezea daima kuwa “maibilisi Wakomunisti.” Kama tokeo, wakati Fred Metcalfe alipokuwa akishiriki katika huduma ya shambani, alikabiliwa na wafanyaghasia waliompigapiga ngumi na kumpiga mateke na kutawanya fasihi zake za Biblia barabarani. Kwa furaha, polisi mmoja alikuja wakati huohuo na kutawanya genge hilo.
-
-
Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 492]
Miaka mingi iliyopita, nyakati fulani wafanyaghasia walifukuza Fred Metcalfe alipojaribu kuhubiri kutoka Biblia katika Ireland; lakini baadaye watu walipochukua wakati wa kusikiliza, maelfu wakawa Mashahidi wa Yehova
-