Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ala za Muziki Katika Israeli la Kale
    Amkeni!—2011 | Machi
    • Tarumbeta na Baragumu

      Mungu alimwagiza Musa atengeneze tarumbeta mbili. Zilitengenezwa kwa kutumia fedha iliyofuliwa, au kupigwa. (Hesabu 10:2) Makuhani walizipiga wakitangaza matukio mengi yaliyohusu hekalu pamoja na sherehe mbalimbali. Sauti tofauti zilipigwa ikitegemea kusudi la tukio, kama vile sauti ya juu sana iliyopigwa kwa muda mrefu au kwa muda mfupi. Umbo halisi la tarumbeta hizo halijulikani kwa sababu hakuna tarumbeta zozote za nyakati za Biblia ambazo zimechimbuliwa. Ni michoro ya wasanii pekee ambayo inapatikana, kama ule unaopatikana kwenye Tao la Tito huko Roma.

  • Ala za Muziki Katika Israeli la Kale
    Amkeni!—2011 | Machi
    • [Picha katika ukurasa wa 15]

      Tarumbeta ilitumika kutangaza matukio mengi

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki