-
Je, Mfungo Ni Jambo la Kale?Mnara wa Mlinzi—1996 | Novemba 15
-
-
Katika dini ya Jain wengi hufunga. Jarida The Sunday Times of India Review laripoti hivi: “Muni [mwenye hekima] wa Jain katika Bombay [Mumbai] alikunywa gilasi mbili tu za maji yaliyochemshwa kila siku—kwa siku 201. Alipoteza uzito wa kilo 33 [pauni 73].” Wengine hata hufunga kufikia kiwango cha kufa njaa, wakiwa na usadikisho wa kwamba hilo litatokeza wokovu.
-
-
Je, Mfungo Ni Jambo la Kale?Mnara wa Mlinzi—1996 | Novemba 15
-
-
Dini ya Jain huona mfungo kuwa njia ya kupata wokovu wa nafsi
-