-
Sehemu ya 1—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Horace Randle, aliyeshirikiana na Baraza la Misheni ya Kibaptisti.
-
-
Sehemu ya 1—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kabla ya ile safari ya miezi minne ya ulimwengu ya halmashauri ya IBSA haijakamilishwa, Ndugu Russell alikuwa amepangia R. R. Hollister kuwa mwakilishi wa Sosaiti katika nchi za Mashariki na kuhakikisha kwamba kazi inafanywa ya kueneza kwa vikundi vya watu ujumbe wa uandalizi wa upendo wa Mungu wa Ufalme wa Kimesiya. Trakti za pekee zilitayarishwa katika lugha kumi, na mamilioni yazo yalienezwa kotekote katika India, China, Japani, na Korea na waenezaji wenyeji. Kisha vitabu vilitafsiriwa katika lugha nne kati ya hizo ili kuandaa chakula zaidi cha kiroho kwa wale walioonyesha kupendezwa.
-
-
Sehemu ya 1—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Katika 1900 yeye aliripoti kwamba alikuwa amepeleka barua 2,324 na trakti zipatazo 5,000 kwa wamishonari katika China, Japani, Korea, na Siam (Thailand).
-
-
Sehemu ya 1—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Jitihada nyingine kubwa ilifanywa katika 1911-1912 ili kusaidia watu wa nchi za Mashariki. International Bible Students Association lilituma halmashauri ya wanaume saba, ikiongozwa na C. T. Russell, ili wao binafsi wakadirie hali huko. Kokote walikoenda walisema juu ya kusudi la Mungu la kuletea wanadamu baraka kwa njia ya Ufalme wa Kimesiya. Nyakati nyingine wasikilizaji wao walikuwa wachache, lakini katika Filipino na India, kulikuwa maelfu. Wao hawakuunga mkono kampeni iliyopendwa na wengi wakati huo katika Jumuiya ya Wakristo ya kukusanya pesa kwa ajili ya wongofu wa ulimwengu. Waliona kwamba jitihada iliyo nyingi ya wamishonari wa Jumuiya ya Wakristo ilitumiwa katika kuendeleza elimu ya kilimwengu. Lakini Ndugu Russell alisadiki kwamba walichohitaji watu kilikuwa “ile Gospeli ya uandalizi wa upendo wa Mungu wa Ufalme ujao wa Mesiya.” Badala ya kutarajia kuongoa ulimwengu, Wanafunzi wa Biblia walielewa kutoka kwa Maandiko kwamba jambo lililopasa kufanywa wakati huo lilikuwa kutoa ushahidi na kwamba hilo lingetumikia kusudi la kukusanya “wachaguliwa wachache kutoka kwa mataifa yote, jamaa, kabila na lugha ili kushiriki katika jamii ya Bibi-arusi wa [Kristo]—ili kukaa pamoja Naye katika kiti Chake cha ufalme wakati wa miaka elfu, wakishirikiana kuinua jamii nzima ya kibinadamu.”a—Ufu. 5:9, 10; 14:1-5.
Baada ya kutumia wakati katika Japani,
-