-
“Kutafuta Kwanza Ufalme”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kufikia 1992, zaidi ya mapainia 100,000 walikuwa wamezoezwa katika shule hiyo katika Marekani pekee; zaidi ya 10,000 walikuwa wakizoezwa kila mwaka. Wengine 55,000 walikuwa wamezoezwa katika Japani, 38,000 katika Mexico, na 25,000 katika Brazili na 25,000 katika Italia.
-
-
“Kutafuta Kwanza Ufalme”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 300]
Shule ya Utumishi wa Painia (kama inavyoonyeshwa hapa katika Japani) imeandaa mazoezi ya pekee kwa makumi ya maelfu ya wafanyakazi wenye bidii
-