-
Wamishonari Wasukuma Mpanuko wa Ulimwenguni PoteMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Lois Dyer, aliyewasili Japani katika 1950, akumbuka shauri alilopewa na Ndugu Knorr: “Fanya yote uwezayo, na, hata iwapo ukifanya makosa, fanya jambo fulani!” Yeye alifanya hivyo, na ndivyo na wengine wengi. Wakati wa miaka 42 iliyofuata, wamishonari waliotumwa Japani waliona idadi ya wapiga-mbiu wa Ufalme ikiongezeka kutoka wachache tu hadi zaidi ya 170,000 na ukuzi umezidi kuendelea tu. Ni thawabu kubwa jinsi gani kwa sababu, baada ya kumtegemea Yehova ili kupata mwelekezo, walikuwa wenye nia ya kujaribu!
-
-
Wamishonari Wasukuma Mpanuko wa Ulimwenguni PoteMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Japani, na Vietnam. Lakini hakukuwa na Shahidi wa Yehova yeyote aliyekuwa akiripoti utendaji katika nchi hizo wakati wahitimu wamishonari wa Shule ya Gileadi walipowasili. Mahali ilipowezekana, wamishonari walianza kueneza nchi nzima kwa utaratibu, wakikaza fikira kwanza kwenye majiji makubwa zaidi. Hawakuangusha fasihi tu na kusonga mbele, kama walivyofanya makolpota zamani. Kwa saburi waliwarudia waliopendezwa, wakaongoza mafunzo ya Biblia pamoja nao, na kuwazoeza katika huduma ya shambani.
-