-
Wamishonari Wasukuma Mpanuko wa Ulimwenguni PoteMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Desturi za mahali mara nyingi zilitaka wamishonari wabadilikane. Katika Japani walijifunza kuacha viatu vyao kwenye milango ya nyumba wanapoingia nyumba. Na walilazimika kuzoea, ilipowezekana, kuketi sakafuni mbele ya meza fupi kwenye mafunzo ya Biblia.
-
-
Wamishonari Wasukuma Mpanuko wa Ulimwenguni PoteMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 530]
Baadhi ya wamishonari na wafanyakazi wenzi katika Japani mwaka 1969
-