-
Matukio Muhimu ya Mwaka Uliopita2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 28]
Ndugu Jaracz akitoa hotuba ya kuweka wakfu kwenye ofisi ya tawi ya Uholanzi
-
-
Matukio Muhimu ya Mwaka Uliopita2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Jumamosi Mei 2, 2009, ndugu na dada wapatao 600 kutoka nchi 31 walisikiliza hotuba ya kuweka wakfu kwenye ofisi ya tawi ya Uholanzi iliyotolewa na Theodore Jaracz wa Baraza Linaloongoza.
-