Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Vitu vya Kuchukiwa na Mataifa Yote”
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Mwaka uliotangulia, wakati Mashahidi wa Yehova walipokuwa na kusanyiko jijini Riobamba, Ekuado, programu yao ilikuwa na hotuba ya watu wote yenye kichwa “Upendo, Unatumika Katika Ulimwengu Wenye Ubinafsi?” Lakini padri Myesuiti alikuwa amechochea Wakatoliki, akiwahimiza wazuie mkutano huo usifanyike. Hivyo, hotuba hiyo ilipoanza, genge lingeweza kusikika likipiga kelele: “Kanisa Katoliki na liishi milele!” na, “Waprotestanti chini!” Kwa shukrani polisi waliwazuia, panga zao zikiwa zimechomolewa. Lakini genge hilo lilitupa mawe katika sehemu ya mkutano na, baadaye, kwenye jengo ambamo wamishonari waliishi.

  • “Vitu vya Kuchukiwa na Mataifa Yote”
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Wakati padri wa Orthodoksi ya Ugiriki alipojaribu kuvunja kusanyiko la Mashahidi wa Yehova kwa kutumia jeuri ya genge katika Larissa, Ugiriki, mwaka 1986, wakili wa wilaya pamoja na kikosi kikubwa cha polisi aliingilia kwa niaba ya Mashahidi hao. Na nyakati nyingine magazeti yamekuwa wazi sana katika kushutumu matendo ya kukosa uvumilio wa kidini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki