-
Jinsi Unavyoweza Kujibu Vizuia-Mazungumzo VikitokeaKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
Ikiwa unazungumzia umuhimu wa kutumia jina la Mungu, chunguza kwanza ujue maoni ya mtu huyo kuhusu jambo hilo. Eleza kwamba andiko la Kutoka 20:7 linakataza kulitumia jina la Mungu kwa njia isiyofaa, lakini halikatazi kulitumia kwa heshima. Ndipo toa sababu kwa kutumia maandiko kama Kutoka 3:15 (au Zaburi 135:13); 1 Wafalme 8:41-43; Isaya 12:4; Yeremia 10:25; Malaki 3:16.
-
-
Jinsi Unavyoweza Kujibu Vizuia-Mazungumzo VikitokeaKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
MTU AKISEMA, ‘MIMI NI MYAHUDI’
● Kwanza, chunguza uone jinsi mtu huyo anavyojiona kuwa Myahudi. Wengi wao hawafuati dini. Kwa wengi wao, kuwa Myahudi kunamaanisha tu kabila lake.
Haya ni mambo machache ambayo ni vizuri kukumbuka: (1) Wayahudi wa kidini wanaona ni marufuku kutamka jina la Mungu.
-