-
Watetezi wa Imani—Je, Walikuwa Watetezi wa Imani au Wanafalsafa?Mnara wa Mlinzi—2010 | Juni 1
-
-
Justin naye alidai kwamba anakataa falsafa ya kipagani, hata hivyo, alikuwa mtu wa kwanza kutumia maneno na mawazo ya wanafalsafa kuelezea mafundisho ya “Kikristo.” Pia, alisema kwamba falsafa ya aina hiyo “haina madhara na ni yenye manufaa.”
-
-
Watetezi wa Imani—Je, Walikuwa Watetezi wa Imani au Wanafalsafa?Mnara wa Mlinzi—2010 | Juni 1
-
-
Justin aliandika hivi: “Baadhi ya mafundisho yetu ni sawa kabisa na mafundisho ya washairi na wanafalsafa mnaowaheshimu, lakini kuhusu mambo mengine mafundisho yetu ni bora kwa sababu yanatokana na Mungu.”
-