-
Matukio Muhimu ya mwaka uliopita2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Wazee wa Kutaniko la Siaya waliandika hivi baada ya kuanza kutumia vichapo na kufanya mikutano katika Kijaluo: “Sasa akina ndugu wanaweza kuelewa vizuri zaidi mambo wanayofundishwa na watoto wanasikiliza kwa makini zaidi. Tangu tulipoanza kutoa hotuba katika Kijaluo, hudhurio kwenye mikutano limeongezeka kwa asilimia 60.”
-
-
Matukio Muhimu ya mwaka uliopita2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 11]
Kutaniko la Kijaluo la Siaya
-