-
Je, Ni Lazima Tufanye Arusi?Amkeni!—2005 | Novemba 22
-
-
Katika nchi nyingi, Mashahidi wengi wa Yehova hufunga ndoa kwenye Majumba ya Ufalme.b
-
-
Je, Ni Lazima Tufanye Arusi?Amkeni!—2005 | Novemba 22
-
-
b Majumba hayo ya ibada hufaa sana kwa ajili ya arusi za Mashahidi wa Yehova. Arusi hizo hazihusishi mambo mengi. Katika pindi hiyo, kanuni za Biblia ambazo ndizo msingi wa ndoa yenye mafanikio huzungumziwa. Hakuna malipo yoyote wanayotozwa wanapotumia Jumba la Ufalme kwa ajili ya arusi.
-