Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wafalme Wawili Wapambana
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • Antiochus wa Tatu alikufa akijaribu kupora hekalu huko Elymaïs, Uajemi, mwaka wa 187 K.W.K. Kwa hiyo, ‘akaanguka’ katika kifo naye mwana wake Seleuko wa Nne, akatawala baada yake akiwa mfalme wa kaskazini aliyefuata.

  • Wafalme Wawili Wapambana
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • Vipi juu ya Seleuko wa Nne? Kwa kuwa alihitaji fedha za kulipa faini kubwa aliyodaiwa na Roma, alimtuma mweka-hazina Heliodorus akatwae mali ambazo yasemekana zilikuwa zimewekwa katika hekalu la Yerusalemu. Heliodorus akamuua Seleuko wa Nne kwa kuwa alikitamani kiti cha ufalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki