Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Ni Nani Ambaye Anastahili Kufungua Hati-Kunjo?”
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • “Na mimi nikaona akisimama katikati ya kiti cha ufalme na ya viumbe hai wanne na katikati ya wazee mwana-kondoo kana kwamba alikuwa amechinjwa, akiwa na pembe saba na macho saba, macho ambayo humaanisha roho saba za Mungu ambazo zimepelekwa katika dunia kwa ujumla.”—Ufunuo 5:6, NW.

  • “Ni Nani Ambaye Anastahili Kufungua Hati-Kunjo?”
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 13. (a) Macho saba ya Mwana-Kondoo yanafananisha nini? (b) Mwana-Kondoo anaanza kufanya nini?

      13 Zaidi ya hilo, Yesu amejazwa roho takatifu kwa utimilifu, kama inavyofananishwa na yale macho saba ya Mwana-Kondoo, ambayo “humaanisha roho saba za Mungu.” Yesu ni mfereji ambao kupitia huo utimilifu wa kani-tendaji ya Mungu hutiririkia watumishi Wake wa kidunia. (Tito 3:6) Kwa udhahiri, ni kupitia roho ii hii kwamba yeye huona kutoka mbinguni yanayotendeka hapa duniani. Kama Baba yake, Yesu ana utambuzi mkamilifu. Hakuna kitu kinachoponyoka asikione. (Linga Zaburi 11:4; Zekaria 4:10.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki