-
“Sheria ya Bwana Ni Kamilifu”Mkaribie Yehova
-
-
b Mahekalu ya Wakanaani yalikuwa na vyumba vya kufanyia ngono, lakini Sheria ya Musa ilisema kwamba watu wote walio najisi hawangeweza hata kuingia hekaluni. Kwa hiyo, hakuna mtu yeyote angechanganya ngono na ibada katika nyumba ya Yehova, kwa sababu ngono ilimfanya mtu awe najisi kwa kipindi fulani.
-
-
“Sheria ya Bwana Ni Kamilifu”Mkaribie Yehova
-
-
Kumbuka kwamba mataifa jirani ya Israeli yalikuwa yakichanganya dini na ibada za ngono na uzazi. Dini ya Wakanaani ilikuwa na makahaba wa kiume na wa kike. Walitenda mambo maovu kupindukia na yakaenea kotekote. Kinyume chake, Sheria ilitenga kabisa ibada ya Yehova na mambo ya ngono.b
-