Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ‘Jilinde na Kila Namna ya Tamaa’
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Agosti 1
    • 14. Tunaweza kujifunza nini kutokana na neno linalotafsiriwa “uzima” katika Biblia?

      14 Yesu alisema, ‘Uzima wa mtu hautokani na vitu alivyo navyo.’ Neno linalotafsiriwa “uzima” katika Injili ya Luka (Kigiriki, zo·eʹ) halimaanishi namna au mtindo wa maisha, bali uzima wenyewe, yaani, uhai.a

  • ‘Jilinde na Kila Namna ya Tamaa’
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Agosti 1
    • a Neno lingine la Kigiriki linalotafsiriwa “uhai” ni biʹos, ambalo linatokeza maneno ya Kiswahili kama vile “biografia” na “biolojia.” Kulingana na kamusi moja (Vine’s Expository Dictionary of Old and New Testament Words), neno biʹos linamaanisha “kipindi au urefu wa maisha,” “namna ya maisha,” na “riziki ya maisha.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki