Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Kweli Uhai Udumuo Milele Wawezekana?
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Aprili 15
    • 2. Watu wengi huwaza juu ya tumaini gani, na kwa nini?

      2 Ni jambo la maana kwamba The New York Times Magazine la Septemba 28, 1997, lilikuwa na makala “Wao Wataka Kuishi.” Lilimnukuu mtafiti aliyesema haya: “Kwa kweli naamini kwamba huenda tukawa kizazi cha kwanza ambacho kitaishi milele”!

  • Je, Kweli Uhai Udumuo Milele Wawezekana?
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Aprili 15
    • Muda mfupi uliopita, Dakt. Alvin Silverstein aliandika akiwa na uhakika katika kitabu chake Conquest of Death: “Tutavumbua mambo yanayotatanisha juu ya uhai. Tutafahamu . . . jinsi mtu anavyozeeka.” Kukiwa na matokeo gani? Alitabiri hivi: “Hakutakuwa tena na watu ‘wazee’ kwa kuwa ujuzi utakaoruhusu kushindwa kwa kifo utaleta pia ujana usio na mwisho.”

  • Je, Kweli Uhai Udumuo Milele Wawezekana?
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Aprili 15
    • Hata ilisemekana kwamba mtaalamu mmoja ana “uhakika kwa furaha . . . kwamba mbinu za utokezaji jeni zitapatikana mapema vya kutosha ku[tu]okoa kwa kukomesha kuzeeka, hata pengine kutokeza ujana.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki