Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sanduku La Swali
    Huduma ya Ufalme—2004 | Julai
    • Hata hivyo, magazeti na kaseti kwa ajili ya vipofu, ambazo hutumwa bila malipo, zinaweza kuandikishwa kwa ajili ya wale wanaostahili.

  • Sanduku La Swali
    Huduma ya Ufalme—2004 | Julai
    • Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko ikitoa ombi la maandikisho kwa ajili ya mtu ambaye hawezi kupata magazeti kupitia njia ya kawaida ya kupelekea watu magazeti, mwandishi anapaswa kutia ndani taarifa fupi inayothibitisha kwamba ombi hilo la andikisho limechanganuliwa na kuidhinishwa na Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko.

      Hiyo inamaanisha kwamba wahubiri hawapaswi kuandikia ofisi ya tawi ili kuomba maandikisho ya kibinafsi. Wahubiri au watu wanaopendezwa wakitoa maombi hayo ya maandikisho, yatarudishwa kutanikoni.

  • Sanduku La Swali
    Huduma ya Ufalme—2004 | Julai
    • Ikiwa haiwezekani kufanya hivyo, mfungwa huyo anaweza kuomba maandikisho kwa kuandikia ofisi ya tawi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki