-
Maendeleo Makubwa Nchini Malawi—Majumba 1,000 ya Ufalme!Amkeni!—2012 | Mei
-
-
Agosti 12, 1993 walifurahi kama nini kwamba baada ya miaka 26, marufuku juu ya kazi yao iliondolewa! Hata hivyo, tatizo jipya lilizuka. Wakiwa Mashahidi zaidi ya 30,000 katika makutaniko 583, hawakuwa na mahali panapofaa pa kukutania ili kuabudu!
-
-
Maendeleo Makubwa Nchini Malawi—Majumba 1,000 ya Ufalme!Amkeni!—2012 | Mei
-
-
Kwa sasa, makutaniko 1,230 yanaweza kukutana kwa ajili ya ibada na kujifunza Biblia katika majengo mazuri yaliyowekwa wakfu ili kuendeleza ibada ya kweli.
-