Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Marko
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Februari 15
    • Inaonekana kwamba kitabu cha Marko kiliandikwa kwa ajili ya watu wasio Wayahudi, hasa Waroma. Kitabu hicho kinaonyesha Yesu akiwa Mwana mfanya-miujiza wa Mungu. Pia, Yesu anaonyeshwa akiendesha kwa bidii kampeni ya kuhubiri. Kinakazia zaidi mambo ambayo Yesu alifanya badala ya yale ambayo alifundisha.

  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Marko
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Februari 15
    • 2:18; 7:11; 12:18; 13:3. Marko anaeleza desturi, maneno, imani, na mahali ambapo huenda wasomaji wasio Wayahudi hawakujua. Anaeleza wazi kwamba Mafarisayo “walikuwa na zoea la kufunga,” kwamba korbani ni “zawadi iliyowekwa wakfu kwa Mungu,” kwamba masadukayo “husema hakuna ufufuo,” na kwamba hekalu lilikuwa “linaonekana” kutoka kwenye “Mlima wa Mizeituni.” Kwa kuwa ukoo wa Masihi ungewapendeza hasa Wayahudi, Marko hauzungumzii hata kidogo. Hivyo, Marko anatuwekea mfano. Tunapaswa kufikiria malezi ya wasikilizaji wetu tunaposhiriki katika huduma ya Kikristo au tunapotoa hotuba katika mikutano ya kutaniko.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki