-
NdoaKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
Lakini baadaye, katika Sheria iliyotolewa kupitia Musa, ndoa hizo zilikataliwa waziwazi. (Law. 18:9, 11)
-
-
NdoaKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
Lakini miaka ipatayo 2,500 baada ya Adamu kutenda dhambi, Mungu alikataza ndoa kati ya watu wa familia moja. Hatua hiyo iliwalinda watoto na kuyafanya maadili ya ngono ya watumishi wa Yehova yawe bora kuliko ya watu waliowazunguka ambao wakati huo walikuwa wakifanya namna zote za matendo mapotovu.—Ona Mambo ya Walawi 18:2-18.
-