-
Je, Umepata Kujiuliza?Amkeni!—1996 | Mei 8
-
-
8. Je, Mariamu alikuwa na watoto wengine baadaye?—Mathayo 13:55, 56; Marko 6:3; Luka 8:19-21; Yohana 2:12; 7:5; Matendo 1:14; 1 Wakorintho 9:5.
9. Twajuaje kwamba ndugu na dada za Yesu hawakuwa binamu zake hasa?—Linganisha Marko 6:3; Luka 14:12; na Wakolosai 4:10.
-
-
Je, Umepata Kujiuliza?Amkeni!—1996 | Mei 8
-
-
8. “Huyu si mwana wa seremala? mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda? Na maumbu yake wote hawapo hapa petu?” (Mathayo 13:55, 56) “Akashuka mpaka Kapernaumu, yeye na mama yake na ndugu [Kigiriki, a·del·phoiʹ] zake na wanafunzi [Kigiriki, ma·the·taiʹ] wake; wakakaa huko siku si nyingi.”—Yohana 2:12.
9. Kuna maneno ya Kigiriki ya kutofautisha ndugu na binamu. “Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu [Kigiriki, a·del·phosʹ] yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? na maumbu [Kigiriki, a·del·phaiʹ] yake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.” (Marko 6:3) “Usiwaite . . . jamaa [Kigiriki, syg·ge·neisʹ] zako.” (Luka 14:12) “Marko binamu [Kigiriki, a·ne·psi·osʹ] ya Barnaba . . .” (Wakolosai 4:10, NW)—Ona The Kingdom Interlinear Translation of the Greek Scriptures.
-