Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Ni Mafundisho ya Uwongo Au ya Kweli?—Ukweli Kumhusu Yesu
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Aprili 1
    • Tofauti na yale ambayo vitabu vya Injili vinasema, wanatheolojia wengi wanadai kwamba Yesu alikuwa mzaliwa wa pekee wa Maria. Baadhi yao wanasema kwamba ndugu na dada za Yesu wanaotajwa katika Biblia ni binamu zake.d

  • Je, Ni Mafundisho ya Uwongo Au ya Kweli?—Ukweli Kumhusu Yesu
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Aprili 1
    • d Wazo hili lililoungwa mkono na Jerome yapata mwaka wa 383 W.K. linapendwa na watu wengi wanaoamini kwamba Maria alibaki bikira maisha yake yote. Ingawa baadaye Jerome alitilia shaka wazo hili, watu wengi bado wanaliamini. Huo pia ndio msimamo wa Kanisa Katoliki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki