Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kuwatambua Waabudu wa Kweli Katika Wakati wa Mwisho
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • 4. (a) Danieli 12:1 hutabiri mambo gani mawili tofauti juu ya Mikaeli? (b) Katika Danieli, yamaanisha nini mfalme ‘asimamapo’?

      4 Danieli 12:1 husema hivi: “Wakati huo Mikaeli atasimama, jemadari mkuu, asimamaye upande wa wana wa watu wako.” Mstari huo watabiri mambo hayo mawili tofauti juu ya Mikaeli: kwanza, kwamba ‘anasimama,’ kuonyesha hali ya mambo inayochukua kipindi cha wakati; pili, kwamba “atasimama,” kuonyesha tukio katika kipindi hicho cha wakati.

  • Kuwatambua Waabudu wa Kweli Katika Wakati wa Mwisho
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • 6 Ingawa hivyo, Mikaeli “atasimama” lini? Ainukapo kuchukua hatua muhimu. Yesu atafanya hivyo wakati ujao. Ufunuo 19:11-16 humfafanua Yesu kiunabii kuwa Mfalme wa Kimesiya mwenye nguvu akiongoza jeshi la malaika na kuangamiza adui za Mungu. Andiko la Danieli 12:1 laendelea kusema hivi: “Na kutakuwa na wakati wa taabu, mfano wake haukuwapo tangu lilipoanza kuwapo taifa hata wakati uo huo.” Akiwa Mfishaji Mkuu wa Yehova, Kristo atakomesha mfumo wote mwovu wa mambo wakati wa ile “dhiki kubwa” iliyotabiriwa.—Mathayo 24:21; Yeremia 25:33; 2 Wathesalonike 1:6-8; Ufunuo 7:14; 16:14, 16.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki