-
Ongezeko Katika Nchi ya Uganda Yenye Makabila MengiMnara wa Mlinzi—2006 | Juni 15
-
-
Kabla ya kuwa Shahidi wa Yehova, Patrick alikuwa mpiga-zumari katika jeshi la angani la mtawala wa zamani wa Uganda, Idi Amin. Miezi sita baada ya Patrick kubatizwa mwaka wa 1983, alianza huduma ya wakati wote. Leo yeye ni mwangalizi anayesafiri, anayetembelea makutaniko na kuyatia moyo.
-
-
Ongezeko Katika Nchi ya Uganda Yenye Makabila MengiMnara wa Mlinzi—2006 | Juni 15
-
-
[Picha katika ukurasa wa 10]
Patrick
-