-
Ibada ya Kweli Yapanuka Ulimwenguni PoteUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Utanyonya maziwa ya mataifa, utanyonya matiti ya wafalme; nawe utajua ya kuwa mimi, BWANA, ni mwokozi wako, na mkombozi wako, Mwenye enzi wa Yakobo.”—Isaya 60:15, 16.
-
-
Ibada ya Kweli Yapanuka Ulimwenguni PoteUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Watu wake wamenyonya “maziwa ya mataifa,” wakitumia mali zinazotoka kwenye mataifa ili kuendeleza ibada ya kweli. Kwa mfano, kutumia ufundi wa kisasa kwa njia ya hekima kumefanya iwezekane kutafsiri na kuchapisha Biblia na vitabu vya Biblia katika mamia ya lugha. Matokeo ni kwamba, mamia ya maelfu ya watu hujifunza Biblia na Mashahidi wa Yehova kila mwaka na kupata kujua kwamba Yehova ndiye Mwokozi na Mkombozi wao kupitia Kristo.—Matendo 5:31; 1 Yohana 4:14.
-