Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sala ya Bwana Inachomaanisha Kwako
    Mnara wa Mlinzi—2004 | Septemba 15
    • “Ufalme wako na uje.

  • Sala ya Bwana Inachomaanisha Kwako
    Mnara wa Mlinzi—2004 | Septemba 15
    • Danieli, nabii wa Yehova alitabiri: “Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaharibiwa kamwe. Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote. Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote [za kidunia], nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo.” (Danieli 2:44) Hivi karibuni, Ufalme, au serikali hiyo ya kimbingu itachukua hatua ya kuleta amani duniani pote chini ya utawala wenye uadilifu.—2 Petro 3:13.

      Kuomba Ufalme wa Mungu uje na mapenzi yake yatendeke duniani ni wonyesho wa imani ambao hautakatisha tamaa. Mtume Mkristo Yohana aliandika hivi: “Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: ‘Tazama! Hema la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao. Naye atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena. Mambo ya zamani yamepitilia mbali.’” Kisha Yohana akaongeza kusema: “Na Yule aliyeketi juu ya kiti cha ufalme akasema: . . . ‘Andika, kwa sababu maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli.’”—Ufunuo 21:3-5.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki