-
Je, Unasali Kupatana na Maneno ya Yesu?Mnara wa Mlinzi—2009 | Februari 15
-
-
bali utukomboe kutokana na yule mwovu.” (Mt. 6:13)
-
-
Je, Unasali Kupatana na Maneno ya Yesu?Mnara wa Mlinzi—2009 | Februari 15
-
-
Mwishowe, tunaposali “utukomboe kutokana na yule mwovu” tunaomba ili Yehova asimruhusu Shetani atushinde. Na tunaweza kuwa na hakika kwamba ‘Mungu hataacha tujaribiwe kupita tunavyoweza kuhimili.’—Soma 1 Wakorintho 10:13.
-