Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Umaridadi wa Mbuga za Taifa za Milimani
    Amkeni!—1997 | Novemba 22
    • Mimea ya Milimani

      Hata mimea hulindwa katika mbuga hizi. Kwa sababu hiyo, hairuhusiwi kuchuma maua hayo, kutia ndani maua maridadi sana ya yungiyungi ya rangi ya machungwa, ambayo yapo kandokando ya kijia chetu. Labda washangaa kwa nini iko hivyo. Mimea fulani—kama vile ile mimea maarufu gurudumu-meno, anemone ya mlimani, waridi-mlima, bluet ya mlimani na namna fulani za kikoroga-maziwa— ni haba sana, na ni muhimu kuilinda ili kuhakikisha imeendelea kuwapo. Maua ya namna nyingi ni yenye kuvutia sana.

  • Umaridadi wa Mbuga za Taifa za Milimani
    Amkeni!—1997 | Novemba 22
    • [Picha katika ukurasa wa 16]

      Waridi la mlimani

      [Picha katika ukurasa wa 16]

      Artichoke ya porini

      [Picha katika ukurasa wa 16]

      Ancolie des Alpes

  • Umaridadi wa Mbuga za Taifa za Milimani
    Amkeni!—1997 | Novemba 22
    • [Picha katika ukurasa wa 17]

      Yungiyungi ya rangi ya machungwa

      [Picha katika ukurasa wa 17]

      Yungiyungi aina ya Turk’s-cap

      [Picha katika ukurasa wa 17]

      Panicaut des Alpes

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki