Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kuinuka na Kuanguka Kwa Sanamu Kubwa Sana
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • 30. Fafanua upeo wa ndoto ya Nebukadreza.

      30 Fikiria upeo wa ndoto hiyo. Danieli alimwambia mfalme hivi: “Nawe ukatazama hata jiwe likachongwa bila kazi ya mikono, nalo jiwe hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa ya chuma na udongo, likaivunja vipande vipande.

  • Kuinuka na Kuanguka Kwa Sanamu Kubwa Sana
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • Na kama vile ulivyoona ya kuwa jiwe lilichongwa mlimani bila kazi ya mikono, na ya kuwa lilivunja-vunja kile chuma, na ile shaba, na ule udongo, na ile fedha, na ile dhahabu; basi Mungu aliye mkuu amemjulisha mfalme mambo yatakayokuwa baadaye; na ndoto hii ni ya hakika, na tafsiri yake ni thabiti.”—Danieli 2:44, 45.

  • Kuinuka na Kuanguka Kwa Sanamu Kubwa Sana
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • 33. “Jiwe” lilichongwa kutoka “mlima” gani, na jambo hilo lilitukia lini na jinsi gani?

      33 “Nyakati zilizowekwa rasmi za mataifa” zilipokoma Oktoba mwaka wa 1914, “Mungu wa mbinguni” aliusimamisha Ufalme wa kimbingu kwa kumtawaza Mwana wake mtiwa-mafuta, Yesu Kristo, awe “Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.”a (Luka 21:24; Ufunuo 12:1-5; 19:16) Kwa hiyo, “jiwe” la Ufalme wa Kimesiya lilichongwa kutoka katika “mlima” wa enzi kuu ya ulimwengu ya Yehova kwa nguvu za Mungu, wala halikuchongwa kwa mikono ya kibinadamu. Serikali hiyo ya kimbingu imo mikononi mwa Yesu Kristo, ambaye Mungu amemvika kutoweza kufa. (Waroma 6:9; 1 Timotheo 6:15, 16) Kwa hiyo, “ufalme [huo] wa Bwana [Mungu] wetu na wa Kristo wake”—unaowakilisha enzi kuu ya ulimwengu ya Yehova—hautaachiwa mtu mwingine. Utadumu milele.—Ufunuo 11:15.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki