-
Wewe Hutoaje Shauri?Mnara wa Mlinzi—2012 | Machi 15
-
-
Andiko la Mhubiri 12:11 linasema hivi: “Maneno ya wenye hekima ni kama michokoo ya kuongoza ng’ombe, na kama tu misumari iliyopigiliwa ndani, ndivyo walivyo wale wanaoshughulika mno kukusanya maneno; wametolewa kutoka kwa mchungaji mmoja.”
-
-
Wewe Hutoaje Shauri?Mnara wa Mlinzi—2012 | Machi 15
-
-
“Misumari iliyopigiliwa ndani” inafanya majengo yawe imara. Vivyo hivyo, kutoa mashauri mazuri kunaweza kuwaimarisha wengine. Watu wenye hekima ‘wanashughulika mno,’ au wanafurahia sana ‘kukusanya maneno’ ambayo yanategemea hekima ya ‘mchungaji wao mmoja,’ Yehova.
-