Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ‘Wafarijini Watu Wangu’
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 19, 20. Ili kukazia ukuu wa Yehova, Isaya atumia vielezi gani?

      19 Namna gani mataifa yenye nguvu duniani—je, yaweza kumpinga Mungu atimizapo neno lake la ahadi? Isaya ajibu kwa kuyafafanua mataifa ifuatavyo: “Tazama, mataifa ni kama tone la maji katika ndoo, huhesabiwa kuwa kama mavumbi membamba katika mizani; tazama, yeye huvinyanyua visiwa kama ni kitu kidogo sana.

  • ‘Wafarijini Watu Wangu’
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 20 Kwa maoni ya Yehova, mataifa yote ni kama tone la maji linaloanguka kutoka katika ndoo. Ni kama tu mavumbi membamba sana yaliyo kwenye mizani, yasiyo na uzito wowote.c

  • ‘Wafarijini Watu Wangu’
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • c Kitabu cha The Expositor’s Bible Commentary chataarifu hivi: “Wafanyabiashara wa Mashariki ya Kati hawangejali tone dogo la maji lililo kwenye ndoo ya kupimia au vumbi kidogo kwenye mizani wakati wa kupimwa kwa nyama au matunda.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki