-
Matetemeko ya Dunia Katika Siku ya BwanaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Katika 1980 waziri wa serikali Harold Macmillan, akirudisha fikira nyuma kwenye mwanzo wenye amani wa karne ya 20, alisema: “Kila kitu kingezidi kuwa bora na bora. Huu ndio ulimwengu nilimozaliwa mimi. . . . Ghafula, asubuhi moja katika 1914 kitu kizima chote kilikuja kwenye mwisho.”
-
-
Matetemeko ya Dunia Katika Siku ya BwanaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
“Imani ya karne ya 19 katika mwendeleo ilipata pigo layo lenye kufisha katika 1914. Ule mwaka uliotangulia mfyatuko wa vita, mwanahistoria na mwanasiasa Mdanishi Peter Munch aliandika akiwa na matumaini mazuri hivi: ‘Ithibati yote iko dhidi ya uwezekano wa kutokea kwa vita kati ya serikali kubwa-kubwa za Ulaya. “Ile hatari ya vita” pia itatoweka katika wakati ujao, kama vile imefanya wakati kwa wakati tangu 1871.’
-