Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumtii Mungu Ni Jambo la Maana Ili Kupata Uzima
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Machi 1
    • Mwana wa Mungu alionyesha wazi kwamba wale wanaofanya amri zake kwa njia isiyofaa au wakiwa na nia mbaya, hawataingia kamwe katika Ufalme, watakataliwa kabisa.—Mathayo 7:15-23.

  • Kumtii Mungu Ni Jambo la Maana Ili Kupata Uzima
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Machi 1
    • Kwa kupatana na hilo, Mungu hawasiliani na wanadamu kwa kuwaamuru kama dikteta mkatili. Mungu hataki tumtii kama mnyama aliyefungwa lijamu anavyotii. (Linganisha na Yakobo 3:3; Zaburi 32:8, 9.) Hataki tutii kidesturi au kwa kulazimishwa, kama vile roho waovu walivyomtii Kristo na wanafunzi wake (Marko 1:27; Luka 10:17, 20), lakini anataka tutii kwa kuchochewa na mioyo yenye shukrani. (Zaburi 112:1; 119:11, 112; Waroma 6:17-19) Hivyo basi, Yehova anapoeleza kuhusu mapenzi na kusudi lake, anatoa pia habari za maana ambazo zinachochea hisia yetu ya kupenda haki na uadilifu, upendo na wema, ufahamu, usawaziko, na hekima. (Kumbukumbu la Torati 10:12, 13; Luka 1:17; Waroma 12:1, 2) Wale walio na mwelekeo unaofaa wa moyo wanatii kwa kupenda. (1 Yohana 5:2, 3; 2 Yohana 6) Pia, ukweli na usahihi wa ujumbe unaotolewa na watumishi wa Mungu unawachochea wasikilizaji kutii, ndio sababu mtume Petro anataja kuhusu ‘kutii ile kweli tokeo likiwa ni upendo wa kindugu usio na unafiki.’—1 Petro 1:22.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki