-
Kuimba Wimbo Mpya wa Sherehe ya UshindiUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
14. (a) Ni jinsi gani 144,000 ni “matunda ya kwanza kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo”? (b) Ni katika maana gani umati mkubwa pia ni matunda ya kwanza?
14 Hao 144,000 ‘hununuliwa kutoka dunia,’ ‘hununuliwa kutoka miongoni mwa aina ya binadamu.’ Wao wanalelewa kuwa wana wa Mungu, na baada ya ufufuo wao, hawatakuwa tena binadamu tu wa mnofu na damu. Kama inavyotajwa katika mstari wa 4, wao wanakuwa “matunda ya kwanza kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo.” Kweli, huko nyuma katika karne ya kwanza, Yesu alikuwa “matunda ya kwanza kwa wale ambao wamelala usingizi katika kifo.” (1 Wakorintho 15:20, 23, NW) Lakini 144,000 ni “matunda ya kwanza fulani” ya aina ya binadamu wasiokamilika, walionunuliwa kwa dhabihu ya Yesu. (Yakobo 1:18, NW)
-
-
Kuimba Wimbo Mpya wa Sherehe ya UshindiUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Hawa walinunuliwa kutoka miongoni mwa aina ya binadamu wakiwa matunda ya kwanza kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo,
-