-
Kondoo wa Yehova Wahitaji Utunzaji MwororoMnara wa Mlinzi—1996 | Januari 15
-
-
(Marko 13:10) Ikiwa ndivyo, Shahidi anayeongoza funzo la Biblia pamoja naye apaswa kumpasha habari mwangalizi-msimamizi, ambaye atapanga kwamba mmoja wa wazee katika Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko na mzee mwingine wakutane na mwanafunzi wa Biblia pamoja na mwalimu wake. Mazungumzo yatategemea kitabu Tumefanywa Tengenezo Tutimize Huduma Yetu, ukurasa wa 98 na wa 99. Ikiwa wazee hao wawili waona kwamba mtu huyu mpya aamini mafundisho ya Biblia ya msingi naye amejipatanisha na kanuni za Mungu, yeye ataambiwa kwamba anastahili kushiriki katika huduma ya hadharani.a
-
-
Kondoo wa Yehova Wahitaji Utunzaji MwororoMnara wa Mlinzi—1996 | Januari 15
-
-
a Kufikia hatua hii, huyu mtu mpya aweza kupata nakala ya kitabu Tumefanywa Tengenezo Tutimize Huduma Yetu.
-