Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Origen—Mafundisho Yake Yaliathirije Kanisa?
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Julai 15
    • Kwa mfano, katika kitabu chake chenye kichwa On First Principles, Origen alimfafanua Yesu kuwa ‘Mwana mzaliwa-pekee, aliyezaliwa, lakini asiye na mwanzo.’ Aliongezea hivi: ‘Uzaliwa wake ni wa umilele. Hakuwa Mwana kwa sababu ya kupokea pumzi ya uhai, wala si kupitia tendo jinginelo, bali kwa asili ya Mungu mwenyewe.’

      Origen hakupata wazo hilo katika Biblia, kwa kuwa Maandiko hufundisha kwamba Mwana pekee wa Yehova ni “mzaliwa wa kwanza wa uumbaji wote” na “mwanzo wa uumbaji wa Mungu.” (Wakolosai 1:15; Ufunuo 3:14) Kulingana na mwanahistoria wa dini Augustus Neander, Origen alifikia uamuzi wa dhana ya “uzaliwa wa umilele” kupitia “elimu yake ya kifalsafa katika shule ya Plato.”

  • Origen—Mafundisho Yake Yaliathirije Kanisa?
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Julai 15
    • Kwa mfano, ijapokuwa makisio mengi ya ajabu-ajabu ya Origen yalikataliwa baadaye, maoni ya Origen juu ya “uzaliwa wa umilele” wa Kristo yalisaidia kuweka msingi wa fundisho lisilo la Biblia la Utatu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki