Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Apokalipsi—Je, Tuiogope Au Tuitumainie?
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Desemba 1
    • Kuhusu Papias, ambaye inasemekana aliuawa huko Pergamum kwa sababu ya imani yake mwaka wa 161 au 165 W.K., kichapo The Catholic Encyclopedia chasema: “Inaonekana Askofu Papias wa Hierapolis, mfuasi wa Mtakatifu Yohana, alitetea fundisho la milenia. Alidai kwamba alifundishwa na watu walioishi wakati wa Mitume,

  • Apokalipsi—Je, Tuiogope Au Tuitumainie?
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Desemba 1
    • Kulingana na Eusebius . . . Papias alisisitiza katika kitabu chake kwamba ufufuo wa wafu ungefuatwa na miaka elfu moja ya ufalme wa kidunia wa Kristo ulio halisi na mtukufu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki