-
Papua New Guinea2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Baadaye, wahitimu wa Gileadi, Geordie na Joanne Ryle, walitumwa Milne Bay, nao walimtembelea Elfreda ili wamtie moyo na kuhubiri pamoja naye. Geordie anasema: “Armitage aliniomba nijifunze Biblia pamoja naye. Kwa sababu ya sifa yake mbaya, nilishuku nia yake. Lakini baada ya kujifunza naye kwa mwezi moja, niliona kwamba alikuwa na moyo mnyoofu. Baadaye alibatizwa na akawa mtumishi wa huduma.”
-
-
Papua New Guinea2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 139]
Geordie na Joanne Ryle
-