Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Washa Upya Upendo wa Kwanza!
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • “Acheni yeye ambaye ana sikio asikie ambacho roho husema kwa makundi: Yeye ambaye hushinda mimi nitaruhusu ale ya mti wa uhai, uliomo katika paradiso ya Mungu.” (Ufunuo 2:7, NW)

  • Washa Upya Upendo wa Kwanza!
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 14. Ni lazima “paradiso ya Mungu” aliyotaja Yesu iwe ilirejezea nini?

      14 Kwa kuwa hao hawana tazamio la kuishi katika paradiso ya kidunia, Wakristo watiwa-mafuta, kama hao Waefeso, wanathawabishwaje kwa kula “ya mti wa uhai, uliomo katika paradiso ya Mungu”? Hiyo haingeweza kuwa Paradiso iliyorudishwa duniani, kwa kuwa Wakristo watiwa-mafuta 144,000, kutia na wale wa kundi la Efeso, wananunuliwa kutoka wanadamu wakatawale pamoja na Mwana-Kondoo, Kristo Yesu, juu ya Mlima Sayuni wa kimbingu wakiwa wana wa kiroho. (Efeso 1:5-12; Ufunuo 14:1, 4) Kwa sababu hiyo, lile rejezo hapa lazima liwe kwenye makao ya kimbingu mithili ya bustani wanayorithi hao washindi. Humo, “katika paradiso ya Mungu,” ndiyo, katika kuwapo halisi kwa Yehova mwenyewe, washindi hawa ambao wameruhusiwa wawe na kutokufa wataendelea kuishi milele, kama inavyofananishwa hapa na kula kwao ya mti wa uhai.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki