Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Una Sababu ya Kuamini Kwamba Kutakuwa na Paradiso?
    Mnara wa Mlinzi—2004 | Oktoba 15
    • Maono ya Paradiso

      4. Andiko la 2 Wakorintho 12:2-4 linataja maono gani, na yaelekea ni nani aliyeyaona?

      4 Kuhusu Paradiso hiyo, ona yale mtume Paulo aliyoandika: “Namjua mtu mmoja katika muungano na Kristo ambaye . . . alinyakuliwa akiwa hivyo mpaka kwenye mbingu ya tatu.

  • Je, Una Sababu ya Kuamini Kwamba Kutakuwa na Paradiso?
    Mnara wa Mlinzi—2004 | Oktoba 15
    • 5. Ni nini ambacho Paulo hakuona, na je, “paradiso” hiyo ilikuwa halisi au ya kiroho?

      5 Muktadha haudokezi kwamba “mbingu ya tatu” inarejelea angahewa inayozunguka dunia yetu, au anga la juu. Mara nyingi Biblia hutumia namba tatu kuonyesha mkazo au nguvu. (Mhubiri 4:12; Isaya 6:3; Mathayo 26:34, 75; Ufunuo 4:8) Hivyo, paradiso ambayo Paulo aliona katika maono ilikuwa imekwezwa au kutukuzwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki