-
Je, Una Sababu ya Kuamini Kwamba Kutakuwa na Paradiso?Mnara wa Mlinzi—2004 | Oktoba 15
-
-
Maono ya Paradiso
4. Andiko la 2 Wakorintho 12:2-4 linataja maono gani, na yaelekea ni nani aliyeyaona?
4 Kuhusu Paradiso hiyo, ona yale mtume Paulo aliyoandika: “Namjua mtu mmoja katika muungano na Kristo ambaye . . . alinyakuliwa akiwa hivyo mpaka kwenye mbingu ya tatu.
-
-
Je, Una Sababu ya Kuamini Kwamba Kutakuwa na Paradiso?Mnara wa Mlinzi—2004 | Oktoba 15
-
-
5. Ni nini ambacho Paulo hakuona, na je, “paradiso” hiyo ilikuwa halisi au ya kiroho?
5 Muktadha haudokezi kwamba “mbingu ya tatu” inarejelea angahewa inayozunguka dunia yetu, au anga la juu. Mara nyingi Biblia hutumia namba tatu kuonyesha mkazo au nguvu. (Mhubiri 4:12; Isaya 6:3; Mathayo 26:34, 75; Ufunuo 4:8) Hivyo, paradiso ambayo Paulo aliona katika maono ilikuwa imekwezwa au kutukuzwa.
-